Reader Settings

SEHEMU YA 36.

Wakati wa mchana wote taarifa ya Regina Afisa mtendaji mkuu kumpata msaliti wa kampuni zilisambaa kwa kila mmoja , lakini haikuwa hivyo tu pia kwa kitendo cha Regina kuwatumia wasaliti kuidanganya kampuni ya Zena ni moja ya habari hizo.

Kulikuwa hata na baadhi ya waandishi wa habari waliokuwa wakitaka kuzijua habari hizo na kuzichapisha katika mitandao yao.

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next