Reader Settings

“Haya sasa ameondoka , nini kinaendelea?”Aliuliza

Hamza alitembea mbele na kisha alinyoosha mkono wake na kunyanyua kile kitabu na kukiangalia.

“Hiki kitabu , ni wapi umekitoa?”

“Wewe unaonaje?”

“Ni kama nilivyotarajia.. umesema hiki kitabu umepewa na babu yako na ndio alichokipenda , ila mbona kama ni uongo?”

“Wewe unajuaje ni feki?”

“Kwasababu kitabu halisi ,nakimiliki mimi”Aliongea Hamza na Regina mara baada ya kusikia …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next