SEHEMU YA 37.
Upande wa pili ilikuwa ni kama vile Lau hakutaka kusikika alikuwa akiongea na simu , licha ya kuwa na wasiwasi lakini sauti yake ilikuwa ya chini sana.
“Lau niambie ni nini kinachoendelea vizuri nikuelewe”Aliongea Hamza.
“Bro hii simu nimekupigia kwa siri mno , naomba usimwambie Madam mimi ndio nimekupigia”
“Ongea bwana kama una cha kuongea , nini kimempata Dina?”Aliuliza Hamza kwa usiriasi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments