Reader Settings

SEHEMU YA 37.

Upande wa pili ilikuwa ni kama vile Lau hakutaka kusikika alikuwa akiongea na simu , licha ya kuwa na wasiwasi lakini sauti yake ilikuwa ya chini sana.

“Lau niambie ni nini kinachoendelea vizuri nikuelewe”Aliongea Hamza.

“Bro hii simu nimekupigia kwa siri mno , naomba usimwambie Madam mimi ndio nimekupigia”

“Ongea bwana kama una cha kuongea , nini kimempata Dina?”Aliuliza Hamza kwa usiriasi …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next