Issa alimsisitiza akitafute kitabu na kukisoma kisha akielewe na wakati huo alikuwa amekipata kitabu chenyewe tayari kwenye mkono wake ila hakuwa amekipitia na kuweza kujua ndani yake kilikuwa kimeandikwa nini. Alizidi kuchanganyikiwa kwa sababu alionekana kutafutwa mno, alikuwa akipata taarifa chache chache kumhusu ikiwa hakuwa anaelewa sababu ya hayo yote kutokea, kichwa chake kilikuwa kizito kufunguka juu ya kila ambacho kilikuwa kinaendelea kwenye maisha yake.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments