Reader Settings

SEHEMU YA 38.

Saa moja kamili za asubuhi ndio muda ambao Hamza alirudi Egret , baada ya kuingia sebuleni aliweza kumkuta Regina ambae alikuwa ashajiandaa kuelekea kazini na sasa alikuwa akipata kifungua kinywa.

“Hamza umerudi , mbona jana hukupiga hata simu kututoa wasiwasi , Regina alikuwa na wasiwasi”Aliongea Shangazi ambae alikuwa akitokea jikoni.

Kauli ile ilimshangaza Hamza kwani alisahau kabisa jana kupiga simu …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next