SEHEMU YA 38.
Saa moja kamili za asubuhi ndio muda ambao Hamza alirudi Egret , baada ya kuingia sebuleni aliweza kumkuta Regina ambae alikuwa ashajiandaa kuelekea kazini na sasa alikuwa akipata kifungua kinywa.
“Hamza umerudi , mbona jana hukupiga hata simu kututoa wasiwasi , Regina alikuwa na wasiwasi”Aliongea Shangazi ambae alikuwa akitokea jikoni.
Kauli ile ilimshangaza Hamza kwani alisahau kabisa jana kupiga simu …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments