Reader Settings

Kiongozi wa Dark site alitoka nje ya chumba hicho na kushangaa akiwaona vijana wake wakiwa wanahaha na komputa zao lakini wale ambao walikuwa na silaha wakiwa wanajikusanya kusubiri amri yake.

“Nini kimetokea?”

“Geti la nje limevunjwa” mmoja wa wataalamu wa komputa alijibu akiwa anajaribu kuonyesha picha za geti hilo kwa upande wa nje.

“Hili jambo limewezekana vipi?”

“Mpaka sasa hatujajua bosi kwa sababu watu wenyewe …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next