Reader Settings

“Unaweza kuitamka hiyo kauli mbele ya raisi na watu wamekufa huku mamia ya watu wakiwa wanasubiri taarifa kutoka serikalini mzee wangu ili nikupeleke Ikulu muda huu?”

“Kwanini mnayatumia mamlaka vibaya kuwanyanyasa raia namna hii? Mwanangu ni miaka miwili sasa tangu azikwe, jana tu mwenzako kaja kunisumbua hapa nikamsikiliza, leo wewe unakuja hapa na habari zile zile, muacheni mwanangu apumzike tafadhali”

“Vipi kama mwanao yupo hai …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next