SEHEMU YA 40.
Masaa kadhaa nyuma Kanali Dastani alikuwa ashaachiwa huru na kitengo cha MALIBU na sasa alikuwa akiingia ndani viunga vya Ikulu.
Katika kipindi chote akiwa amezuiwa hakuwa na wasiwasi kabisa , kutokana na kwamba alikuwa na ukaribu na Mheshimiwa Raisi lilikuwa swala la muda kutolewa ndio maana hata wakati wa mahojiano hakutaka kuongea chochote akijaribu kupoteza muda.
Amosi Undercover Agent wa kitengo cha …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments