Reader Settings

SEHEMU YA 41.

Regina alijikuta akishindwa kuamini Hamza amemkandamiza kifudifudi kwenye meza na kuanza kumpiga makofi ya makalio, alijitahidi kufurukuta lakini alishindwa kabisa na vibao viliendelea kumshukia , Hamza aliona huyu mwanamke hataki kupokea simu yangu huku akisema hana sababu sasa vibao hivyo vitampa sababu ya kutopokea simu yake.

“Ongea , siku nyigine utapokea simu yangu au hutopokea?”Aliongea Hamza lakini upande wa Regina aliishia kung’ata …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next