Reader Settings

SEHEMU YA 42.

“Mchomeni mchawi huyo , Aderon kutoka Cathedral anakwenda kuchoma mchawi”

“Burn that damn witch to ashes”

Woga na mshituko uliweza kumshika kwa kusikia lugha ya kingereza ambayo waongeaji wake lafudhi zao zilimchanganya.

Swali lilimvaa pale na kujiuliza yupo wapi , ni ulimwengu gani ambao mchungaji anashiriki kumchoma mchawi moto.

Hamza aliweza kuhisi kabisa kuna kitu hakipo sawa na kuna jambo kubwa ambalo …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next