SEHEMU YA 43.
Hamza aliwahi kutoka kazini kuliko kawaida ili kuwahi miadi na Prisila , mrembo huyo alikuwa ameshamtaarifu ni wapi amkute hivyo alisogea mpaka Mlimani City na ndani ya dakika tano tu kupita Prisila alitokea , siku hio alikuwa akitumia gari nyingine kabisa aina ya Bentley.
“Inaonekana ni kama nilivyotarajia , unajali muda “Aliongea Prisila huku akimwangalia Hamza na kuonyesha ishara ya kuridhika.
“Umependeza …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments