Reader Settings

SEHEMU YA 43.

Hamza aliwahi kutoka kazini kuliko kawaida ili kuwahi miadi na Prisila , mrembo huyo alikuwa ameshamtaarifu ni wapi amkute hivyo alisogea mpaka Mlimani City na ndani ya dakika tano tu kupita Prisila alitokea , siku hio alikuwa akitumia gari nyingine kabisa aina ya Bentley.

“Inaonekana ni kama nilivyotarajia , unajali muda “Aliongea Prisila huku akimwangalia Hamza na kuonyesha ishara ya kuridhika.

“Umependeza …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next