MASAA KADHAA NYUMA.
Jaususi Mstaafu Amosi hakutaka kuchelewa hata dakika moja mbele ya Kanali Dastani , alijua akifanya kosa tu atawahiwa ndio maana usiku huo huo mara baada ya kumuwekea kirusi Kanali katika chumba cha Pub ile moja kwa moja alianza kufanya uchunguzi juu ya wapi ataweza kumpata Mchuku, mkuu wa Gereza.
Katika ujasusi wake kuna mambo makuu mawili ambayo alipata , kwanza alijua kuna …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments