SEHEMU YA 46.
Regina mara baada ya kuisikia hio kauli uso wake ulipata moto kwa aibu maana ni kama kitu ambacho hakutegemea.
“Bibi unaongea nini , mimi siwezi kuolewa nae?”Aliongea Regina
Hamza hata yeye alikuwa kwenye kuchanganyikiwa , hatua hio aliona ni ya haraka sana , isitoshe hata mwezi haujaisha tokea afahamiane na Regina.
“Hutaki kuolewa nae , kwahio umetafuta boyfriend wa kucheza na akili …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments