Reader Settings

SEHEMU YA 46.

Regina mara baada ya kuisikia hio kauli uso wake ulipata moto kwa aibu maana ni kama kitu ambacho hakutegemea.

“Bibi unaongea nini , mimi siwezi kuolewa nae?”Aliongea Regina

Hamza hata yeye alikuwa kwenye kuchanganyikiwa , hatua hio aliona ni ya haraka sana , isitoshe hata mwezi haujaisha tokea afahamiane na Regina.

“Hutaki kuolewa nae , kwahio umetafuta boyfriend wa kucheza na akili …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next