Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

SEHEMU YA 46.

Regina mara baada ya kuisikia hio kauli uso wake ulipata moto kwa aibu maana ni kama kitu ambacho hakutegemea.

“Bibi unaongea nini , mimi siwezi kuolewa nae?”Aliongea Regina

Hamza hata yeye alikuwa kwenye kuchanganyikiwa , hatua hio aliona ni ya haraka sana , isitoshe hata mwezi haujaisha tokea afahamiane na Regina.

“Hutaki kuolewa nae , kwahio umetafuta boyfriend wa kucheza na akili …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next