SEHEMU YA 47.
Regina pia alishangaa na kumwangalia Frank kwa ukauzu.
“Frank unachotaka ni nini?”
“Sister hakuna ninachotaka , nataka kuongea na
shemeji yangu sidhani ni tatizo , isitoshe siku zote
kuna mazungumzo ya kiume huwa yanafanyika”Aliongea huku akicheka
“Hamza unaweza kuondoka , Frandk anataka kuongea na wewe sio mbaya , isitoshe Dokta Ronica hajafika bado”Aliongea Bibi huku akijilaza vizuri kwenye kitanda.
“Wapi tunaenda …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments