Reader Settings

SEHEMU YA 47.

Regina pia alishangaa na kumwangalia Frank kwa ukauzu.

“Frank unachotaka ni nini?”

“Sister hakuna ninachotaka , nataka kuongea na

shemeji yangu sidhani ni tatizo , isitoshe siku zote

kuna mazungumzo ya kiume huwa yanafanyika”Aliongea huku akicheka

“Hamza unaweza kuondoka , Frandk anataka kuongea na wewe sio mbaya , isitoshe Dokta Ronica hajafika bado”Aliongea Bibi huku akijilaza vizuri kwenye kitanda.

“Wapi tunaenda …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next