Reader Settings

BOLIVIA –AMAZONI 1990

Ni ndani ya mwaka 1990 miezi minne tu baada ya kijana Levente pamoja na Profesa Banosi kupigwa Risasi nchini Hungaria ndani ya mji mkuu wa Budapest .

Ndani ya sehemu moja iliokuwa katikati ya Msitu wa Amazon kilomita kadhaa kutoka mji mkuu wa La Paz , ilionekana Chopa iliokuwa ikiambaa ambaa angani ndani ya msitu huu , huku ikiwa na nembo ya …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 21 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next