Reader Settings

Ilikuwa ni dhahiri kwa mwanaume aliefahamika kwa jina la Mr Alfonso kutokutarajia mtu ambae alipaswa kuonana nae kwa kufanya safari ya kufika Israeli kuwa Frida, kwa muonekano wake wa haraka haraka ilionyesha alikuwa akimfahamu fika Frida na macho yake yalionyesha hofu na wasiwasi kiasi cha kurudi nyuma na kurudia mlango akitaka kutoka.

Mara baada ya kupalamia mlango akihitaji kuufungua haukufunguka na alijikuta akigonga kwa nguvu …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next