Reader Settings

SEHEMU YA 49.

“Namaanisha tumeanza pamoja hivyo tutamaliza pamoja”Aliongea Hamza akiwa na tabasamu la kawaida lakini macho yake yalionyesha namna gani alikuwa siariasi.

Refa hakufikiria sana na aliishia kumuuliza Regina kama anakubaliana na wazo la Hamza na Regina upande wake aliishia kukubali na mechi ikaanza lakini kwa sura tofauti.

Wachezaji wanne upande wa Dosam huku Aroni akiwa amekaa pembeni kana kwamba anasubiria kuangalia …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next