SEHEMU YA 50
Kitendo cha Chekani kuletewa Yonesi kupigana nae aliona ni kama dharau.
“Kwahio mnadhani nimejifunza sanaa ya mapigano kwajili ya kushindana na kila mtu hata kama hana vigezo?”
“Acha visingizio , tutaongea hili baada ya kuweza kunishinda”Aliongea Yonesi akiwa ameshakaa pozi la kupigana.
Kechani aliishia kutingisha kichwa na kuingia ndani ya ulingo huku akipiga hatua moja kumsogelea Yonesi , wakati huo kidole chake …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments