SEHEMU YA 53
Tuliishia Bibi yake Regina ametembelea makao makuu ya kampuni na kuzidiwa Ghafla.
Endelea sasa.
Licha ya kwamba Mirium kuonekana amepoteza fahamu lakini ilionyesha ni kiasi gani alikuwa katika maumivu makali , uso ulipoteza nuru kabisa na ulikuwa umejikunja kana kwamba alikuwa akisikia maumivu makali.
Hamza mara baada ya kumuona mzee huyo alijua moja kwa moja ni vipindi vya mwisho mwisho vya ugonjwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments