Regina mara baada ya kusikia kauli hio mikono yake iliokuwa imeshikilia usukani wa gari ilianza kutetemeka , isitoshe alikuwa msichana na ni ngumu kwake kuhimili mshituko wa namna hio
“Kwahio tunafanya nini , gari halipunguzi mwendo na tunakaribia mataa mbele yetu?”
Hamza alijikuta akiinua macho mbele na kugundua kweli mbele yao wanazikaribia Traffic light na magari ambayo yalikuwa yakitoka Kariako kwenda Mbagala yalikuwa mengi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments