Crown princess Amirah wa Brunei kilichomfanya amuite Jimmy shetani ni kutokana na kushuhudia mwanaume huyo alivyokuwa akiua maninja wa yami no senshi kikatili sana na kama binti mfalme ilikuwa mara yake ya kwanza kushuhudia mauaji ya kikatili ambayo hakuwai kuwazia yatakuja kutokea mbele ya macbo yake
Hatahivyo alistahili kuitwa binti mfalme kwa uzuri alionao na kama mjuavyo mabinti wenye damu ya kifalme siku zote huwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments