Reader Settings

SEHEMU YA 55.

USIKU WA JANA.

Hamza mara baada ya kutoka nje ya geti alisogelea moja ya gari ya Mercedenz iliokuwa imesimama mita kadhaa kutoka katika geti la nyumba yao na kisha aligonga kioo cha mbele na muda uleule kioo kile kilishushwa na ndani ya gari hio alionekana mwanaume alievalia suti, mweusi mwenye makadirio kama ya miaka therathini hivi.

“Bosi pole kwa kusubiri muda mrefu?”Aliongea …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next