Ilimchukua dakika kama kumi tu kwa Ajenti Alonzo kujitambulisha na Amosi kumuelewa , kwa wakati huo Amosi alionekana kuwa kawaida , ki ufupi hakuwa na tofauti sana kitabia , kitu kimoja tu ambacho kilikuwa tofauti ni namna ambavyo alikuwa mtiifu kwa kile ambacho alikuwa akielezewa na Alonzo.
“Mr Amosi kwasasa utafahamika kwa jina la Ajenti Zuku ikimaanisha Askari usie na chimbuko, umenielewa?”
“Ndio Sir”Alijibu Amosi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments