“Kwa.. kwanini?”
Regina alitaka kujua sababu ya Hamza kumuua mtu , alitaka angalau kujua sababu pengine anaweza kujishauri, tokea siku ambayo aliweza kuona Hamza akiifahamu lugha ya kifaransa vizuri , siku ambayo alijua Hamza anafahamina na mshonaji nguo mkubwa alijua fika pengine kuwa mwanachuo , fundi na mwalimu ni namna ya kuficha ubini wake , lakini licha ya hivyo ilikuwa ngumu kwake kumvumilia kama kweli …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments