Hamza akiwa ndani ya gari na Dina alimwambia kile ambacho kimetokea mpaka namna alivyojiandikisha na Regina na kuwa wanandoa kisheria.

Ijapokuwa Dina alikuwa mtulivu wakati wa kumsikiliza Hamza , lakini mara baada ya kusikia Hamza alikuwa amesajili ndoa na mwanamke mwingine alijikuta akishikwa na huzuni.

Lakini hata hivyo aliona haiwezekani yeye kuja kuwa mke wa Hamza kwani hakuwa na vigezo hivyo.

“Kwahio kwanzia sasa utakuwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next