Frida alijua kabisa anakwenda kufa na kifo chake kuja kuwa utata , aliweza kuona kilichokuwa kimemkaba kooni ni kivuli lakini hakuweza kufanya chochote.
Kwa mtu wa kawaida unaweza useme Frida alikuwa amepatwa na ukichaa au ugonjwa wa ajabu lakini ukweli ni kwamba kuna nguvu iliokuwa ikimkaba kupitia kivuli.
Wakati akiwa amekata tamaa ghafla tu ule utulivu wa kile chumba ulitoweka , ilikuwa ni kama upepo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments