“Sijui kuhusu katiba yao inachosema , ila nina uhakika mgombea Mwenza ndio atachukua nafasi, kwanini unauliza?”Aliuliza tena Dina maana alijua Hamza hakuwa mtu wa siasa.
“Nawaza kuna mchezo unaochezwa hapa na kuna nguvu mbili kubwa za kisiasa , nataka kujionea mwenyewe”Aliongea Hamza na Dina alitingisha kichwa , kwasababu Hamza alitaka kwenda hakuona haja ya kumzuia , isitoshe ilimpelekea kujiamini zaidi kudili na hali kama hio.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments