Reader Settings

SEHEMU YA 62.

Kitendo cha Hamza kuonyesha kuishangaa ile picha kama vile mtu huyo anamfahamu ilimpa na Dina shauku ya kutaka kujua ni nani, baada ya kuangalia na kuona ni mwanaume wa kizungu aliekuwa amevalia mavazi ya kifungwa huku akiwa na kipara alimwangalia Hamza.

“Unamjua huyu ni nani?”Aliuliza Dina.

“Naweza kusema ndio namfahamu , lakini hata nikuelezee ni nani huwezi mfahamu, kinachonishangaza sio …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next