Hamza mara baada ya kuonana na Eliza, mrembo huyo alionekana kama amechoka mno licha ya kwamba ilikuwa asubuhi, ni kama vile alikuwa ameachwa na mpenzi.
“Eliza kwanini unaonekana kuchoka hivyo?”Aliuliza Hamza na mara bada ya Eliza kukutanisha macho na Hamza alionyesha kulazimisha tabasamu.
“Labda ni kwasababu nilikosa usingizi jana , vipi kwanini umekuja ofisini kwangu?”
“Linda kasema kuna hela za malipo unazokwenda kukusanya leo , …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments