SEHEMU YA 65.
Wakati Hamza akiwa amembana yule mwanaume mlevi chini na mguu wake, yule mhudumu ambae aliwakalisha hapo aliingia kwa haraka huku akiwa na hisia mchanganyiko ilikuwa ni kama hakuwa ametegemea tukio hilo au hata kama alitegemea hakuwa na jinsi ya kulizuia kutokana na maagizo ya bosi wake.
“Samahani kaka , nini kimetokea?”Aliuliza yule mwanamke na Hamza aliacha kumminya na kumpiga teke.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments