Reader Settings

SEHEMU YA 65.

Upande wa  nyuma   katika  jengo hilo la makao makuu ya Dede  kulikuwa na maegesho mengine tofauti  kabisa , yaani kulikuwa na njia mbili za kuingilia ndani , upande wa mbele ambao  Hamza walipaki gari yao  na upande wa nyuma.

Wakati  akiwa anafikiria baadhi ya   mambo yake , Yulia aliisogelea  gari yake  ya Bentley  upande wa nyuma na kufungua mlango kisha akaingia ndani.

“Nipeleke nyumbani”Aliongea  huku akionekana kuchoka  kiasi , hakutaka kurudi  kazini kwake kabisa  hivyo alitaka kwenda kupumzika.

Lakini sasa licha ya kutoa maagizo  dereva hakuwasha gari kabisa  na kumfanya amwangalie.

“Unaota nini….”Alitaka kufoka  lakini mara baada ya kumwangalia  dereva  alijikuta akishikwa na mshangao.

“Kwanini ni wewe..?”

Dereva  alikuwa tayari ashageuza kichwa chake  na  kwa mshangao ilikuwa ni  Hamza  ambae alikuwa na tabasamu lililojaa uovu tena akiwa na sigara isieleweke aliitoa wapi.

“Mrembo  unaonekana kushangaa sana kuniona?”Aliongea Hamza huku akitoa  moshi wa sigara.

“Dereva wangu yupo wapi?”

“Usiwe na wasiwasi nimefungia kwenye buti na kumpokonya sigara yake, amezimia tu ila hajafa”Aliongea Hamza na kumfanya Yulia kuanza kuhisi uoga  kwenye moyo wake , Dereva wake  hakuwa wa kawaida alikuwa  ni Komandoo  wa jeshi ambae amepitia mbinu mbalimbali za  mapigano ya kale , sasa kama  mwanajeshi anapigwa na kuingizwa kwenye buti ilimfanya kuwa na wasiwasi.

“Umejua vipi nipo hapa?”Aliuliza huku macho yake yakibadilika na kuzidi kuwa na ukauzu.

“Tokea  niliposikia  Eliza akilazimishwa kuja hapa nilijua tu kuna mtu anamwandalia mtego , licha ya kwamba  kuna skendo nyingi ambazo zinamhusu mzee Laizer  sijawahi kusikia inayohusu utapeli , ni mtu ambae anajali taswira yake  mno  hivyo asingekubali kuchafuka kwa kushindwa kulipa  deni, lakini hata hivyo nilishindwa kukuona  hivyo baada ya kutoka nilizunguka kuangalia  magari ya kifahari yaliopaki  ndani ya eneo hili , Tanzania haina matajiri wengi wa kutumia magari ya  kifahari  na nilivyoona lako nikakumbuka  kule hotelini “

“Oh! Kumbe  ilikuwa hivyo…”Aliongea Yulia huku  akionyesha kutoonyesha mshangao , ijapokuwa ilikuwa sababu ya kutosha  lakini mwishowe aliona   uwezo wa Hamza wa kunusa hatari ulikuwa mkubwa.

“Yulia unaonekana kutokuwa na hofu kwa  kugundulika ulichokuwa ukipanga , unadhani siwezi kukufanya chochote?”

“Unataka nipige  makelele , unaweza kunikamata lakni huwezi kunifanya  chochote labda kama unataka  kupambana na familia yangu yote, isitoshe sijakufanya chochote , kama  unataka kuendelea kuishi kwa amani  ni bora usifanye kitu chochote cha  kijinga”Aliongea Yulia huku akionyesha kujiamini na kumfanya Hamza kutoa tabasamu la uovu,  alivuta moshi mwingi wa sigara na kisha akampulizia Yulia usoni  na kumfanya aanze kukohoa.

“Unafanya nini , acha kuvuta misigara yako ndani ya gari yangu”Aliongea na Hamza alizima ile sigara  na  kisha aliruka kutoka kwenye siti ya dereva na  kwenda siti ya nyuma  na kumkandamiza Yulia kwa kumshika mikono yote miwili  kwenye  siti na kumwangalia kwa  chini.

“Wewe unafanya nini ?”Aliuliza  huku macho yake yakiwa  yamejaa  ukali.

“Hilo swali nataka kukuuliza wewe , unapanga  nini kwenye kichwa chako?””

“Mimi?”

“Ndio wewe ,  najua  kila kilichotokea leo ni mpango wako , ulitaka  Eliza aje mwenyewe hapa  ili  umkamate kwa ajili ya kunitishia  mimi , kwa maana hio ulikuwa ukinifuatilia  kwa muda mrefu mpaka kujua  nina mahusiano na Eliza”

“Kwahio vipi kama nimefanya ,  niue uone kitakachokutokea”

“Kuwa mgongwa wa akili haimaanishi huogopi kifo”Aliongea  Hamza na kutanua kiganja cha mkono  wake na kumshika Yulia sura kwanzia kwenye mashavu  na kuanza kumminya.

“Arghhh..”

Alijikuta akilia  kutokana na  namna mashavu yake yalivyokuwa yakiminywa na kuumizwa na meno yake.

“Niachie wewe mshenzi”Aliongea kwa nguvu huku akijaribu kumng’ata Hamza lakini alishindwa , Hamza hakuwa akimuogopa hata kidogo , kwa kile kilichokuwa kikiendelea mtu wa nje  angesema Hamza anabaka.

Hamza hakuishia kumminya mashavu  tu alishika  lipsi za  Yulia na kuanza kuzisugua na kidole kiasi kwamba ni kama alihisi zilikuwa zikichubuka.

Yuia alijikuta akihisi  kama vile mdomo wake ulikuwa ukiwaka moto  na alianza kutetemeka mwili mzima, Hamza ni kama  alikuwa akizisafisha zile lipsi ili kuondoa  lipstick na baada ya kuona zimeng’aa alizikiss , kitendo kilichomuudhi zaidi  Yulia kiasi cha machozi kuanza kujitengeneza kwenye  macho yake.

“Kama lengo lako  ni kutaka niwe upande wako , mbinu unazotumia sio nzuri , ukigusa watu ambao nawajali ni sawa na kugusa moto”Aliongea Hamza huku akicheka  kidhihaka

“Kwahio nifanye nini , nikupe mwili wangu ndio  uweze kuwa mtu wangu?”

“Unaweza kujaribu, isitoshe ni muda mrefu sijawahi kukutana na mwanamke bikra”Aliongea Hamza na palepale alipeleka mkono wake wa kushoto  kwenye  gauni  la  Yulia.

Yulia alikuwa amekaa na wakati anashambuliwa miguu yake aliitawanyisha na Hamza  kuweka mguu wake katikati , hivyo ilikuwa ngumu  kujibana  tena na  kitendo cha Hamza kupeleka mkono  ilikuwa ni jaribio jepesi mno.

“Acha , acha,  naomba uache”Aliongea kwa  nguvu  lakini  licha ya hivyo mkono wa Hamza haukuishia njiani , uso wa mrembo huyo ulizidi kubadilika .

“Wewe mshenzi nitakufunga , hujui nguvu ya familia yangu…”Aliongea  lakini kilichosikika  ni nguo  yake ya ndani kuchanika, lakini  ajabu kwa Hamza ni kwamba licha ya mwanamke huyo kutotaka kuguswa lakini nguo  yake ilikuwa imeshaloa muda mrefu.

“Mhmh!..  huyu anaonekana kuwa mwanamke aliejiandaa kubakwa”Aliwaza Hamza  kifedhuli.

“Mshenzi wewe….”Aliongea  huku akimwangalia Hamza kwa macho makali ,  kwenye maisha yake hakuwahi kufanyiwa hivyo , alitamani kumshikisha adabu  Hamza palepale.

Upande wa Hamza hakujali hata kidogo  , alichukua ile nguo   ya ndani alioichana na kumwekea  Yulia puani ,  ni kama anamwambia nusa unyevunyevu  wako.

Yulia kitendo cha kunusa harufu ya uanamke wake alijikuta akiona aibu kiasi cha kutaka kupotea ghafla ,  lakini licha ya aibu  alijikuta akipatwa na  msisimko wa ajabu ni kama kitendo kile kilimfurahisha.

“Hamza kama unataka kuniua  niue tu , usidhani nitakuogopa baada ya hili”

“Kukuua wewe ni kujitafutia matatizo tu ,  siwezi fanya hivyo”Aliongea Hamza na  kumgeuza Yulia  na kumlaza katika siti zote  za  nyuma na kumuweka  staili ya kifo cha mende.

“Wewe unafanya nini?”Aliuiza huku akionyesha kupaniki , hakuamini Hamza anakwenda kumfanya wakiwa kwenye gari.

Lakini alichokiwaza kilikuwa tofauti mara baada ya kumuona Hamza akitoa simu yake na  kuweka upande wa Kamera na kisha kulipandisha gauni lake.

“Ahhhhhhhhhhhhhhhhhh.. nakuomba tafadhari uache..”

Yulia  alijua hakuwa na kitu chochote kilichobakia  kwenye mwili wake kuficha sehemu zake za siri na kingine  hakuwa amejiandaa hivyo   eneo lake kutokuwa na hali nzuri , sasa  kupigwa picha kama hivyo  ni kitu ambacho hatotaka kije kuonekana kwa mtu yoyote yule.

“Kwasababu unadhani familia yako inakujali sana na wanawweza kufanya chochote , ngoja nikurekodi kidogo , umenichokoza mwenyewe hivyo  ni wakati wako wa kukabiliana na matokeo”Aliongea Hamza  na kisha  alianza kubonyeza kitufe cha kupigia picha na kurekodi.

“Mwanaharamu wewe , nitakuua kwa kifo kibaya sana”Alilaani  huku  moyoni mwake akijiambia atakuja kulipiza maara mia ya kile anachofanyiwa.

Dakika ambayo Hamza alimwachia  na kurudisha simu yake alikutana na kibao kikali kutoka kwa mrembo huyo   lakini aliweza kukwepa kabla hakijamfikia na kumshika mikono kwa mara nyingine na  kumkadamiza kwenye siti.

“Yulia huwa sipendi kuchokozwa hivyo nakuambia acha mara moja , kama unataka  kutafuta mtu wa kucheza nae  tafuta lakini sio mmi ,  nadhani huelewi unacheza na mtu wa namna gani”Aliongea Hamza huku akiwa siriasi.

“I am sorry ,   huwa napenda  kushindana , nilitaka kujua wewe ni nani  basi…  ni bora uniue leo hii  la sivyo  nitakupigisha magoti na kuomba msamaha kwa ulichonifanyia leo”Aliongea Yulia huku  akiwa hana hofu kabisa na kumfanya Hamza kushangaa , alijua kwa kumfanyia hivyo mwanamke huyo angeogopa  lakini matokeo yake  alionyeshewa ukiburi  na uchizi nje ya  matarajio yake .

Ukweli ni kwamba  kama sio kwa  Yulia kumfanyia hila  pengine angeanza kumpenda maana alikuwa mwanamke mrembo mno ,  Yulia alikuwa na mwonekano  uliojaa sumu  akikutega  kama huna uwezo  binafsi wa kushindana na hisia lazima uingie kwenye mtego wake na hio ndio ilikuwa siraha yake kubwa , aliwamaliza maadui zake kwa staili hio.

“Hii Video chukulia kama onyo , usije kujaribu tena  kucheza michezo yako na watu wangu  wa karibu, la sivyo nitakuharibia Yulia  na hata familia yako haitoweza kufanya chochote kukusaidia”Aliongea Hamz ana kumfanya  Yulia  kuishia kumwangalia Hamza huku akifikiria namna ya kudili na swala hilo , lakini katika nafasi aliokuwepo aliona hana uwezo wa kufuta

“Nimekuelewa  kwaleo tufanye umeshinda”Aliongea Yulia na kumfanya Hamza kupumua kwa ahueni ,  alijiambia kama  angetaka kumuua  Yulia basi moja  kwa moja  angejiingiza kwenye matatizo makubwa.

“Matumaini yangu huu ushindi utadumu milele”Aliongea Hamza  huku akijiandaa   kushuka  lakini  ghafla  tu mabomu ya machozi yalirushwa  karibu na gari  lao na kulipuka

“Ulikuwa umendaa  mpaka huu mpango?”Aliuliza Hamza kwa mshangao.

“Hapana   hii sio mimi”Aliongea na Hamza alifikiria kwa sekunde na kisha alimwangalia.

“Bakia ndani ya gari usishuke , ngoja nione  nini kinaendelea”Aliongea Hamza  na  akashuka muda uleule.

Eneo lote  kuzunguka  walipo kulikuwa na moshi mzito wa mabomu  kiasi cha kupelekea  usione kinachoendelea

Hamza akiwa amefunikwa na ule moshi ghafla tu alihisi vitu kama nyota vinavyozunguka vikimsogelea kwa kasi.

“Shurikeni !!!” Aliongea Hamza mara baada ya kugndua nyota hizo ni visu ambavo vinafahamika kwa jina  la kijapani kama Shuriken.

Nyota hizo zilitokea kila upande juu chini  na pembeni  vikitaka kummaliza mara moja Hamza  pale  alipokuwepo.

Yulia mara baada ya kuona tukio lile alishindwa kujizuia na kutoa macho huku mkono ukiwa mdomoni  , alitaka kumwambia Hamza  lakini alikuwa amechelewa.

Lakini Hamza ni kama alitegemea kwani  palepale alinyoosha mikono yake miwili huku akipiga sarakasi ya kuzunguka   mikono yake ilipiga makofi  na kila alivyokuwa  akifungua kiganya chake   vile visu  vilidondoka chini , ilionekana alikuwa akividaka  kwa kuvishikilia na viganja vya mkono na kuvikwepa kwa  wakati mmoja , ilikuwa picha ya aina yake kwa namna alivyokuwa akiuzungusha mwili wake kwa wepesi  na ustadi wa hali ya juu kudaka baadhi ya  shurikeni.

Hamza hakuishia pale  kitendo cha waliokuwa wakirusha vile visu kuchelewa kidogo  tu ni kama walimpa nafasi kurusha  kimoja alichoshikilia upande wa kushoto kwake na kilichosikika ni mguno  wa maumivu  , muda ule  moshi ulikuwa umepungua na alionekana  Ninja aliekuwa amevalia mavazi kama kanzu nyeusi na Nikab   kinyota kikiwa kimeingia kwenye Koromeo lake na  damu zilikuwa zikiruka kama bomba.

Maninja wengine wawili  walikuwa wakimuona Hamza vizuri na hawakuishia pale tu walianza kumshambulia  Hamza na   visu  vilivyokuwa kama mshale  lakini muda huo Hamza hakukwepa tena kwa sarakasi  bali  katika eneo  ambalo alikuwa amesimama ni kama vile imebakia picha yake  tu kwani visu vile vilimfikia  lakini  havikumchoma zaidi ya  kupita, ilikuwa ni kama wanarushia  Holograph ya sura ya Hamza.

Walizidi kumshambulia Hamza   mara baada ya kuhisi anawasogelea lakini ukweli  ni kwamba  walichokuwa wakiona sio Hamza, mpaka wanakuja  kujua hilo Hamza alikuwa ameshawafikia.

Hamza mara baada ya kumsogelea aliekuwa mbele  ili kumpiga  alijikuta akiishia kushika kitambaa cha nguo tu pekee.

“Wow!!  Kazi nzuri”Aliongea Hamza mara baada ya kumkosa  wa kwanza  na muda huo alijua walikuwa wakitumia mbinu za kininja ili  kukwepa kukamatwa.

Hamza mara baada ya kugundua hilo alifumba macho na kuanza  kupima mabadiliko ya mkondo wa upepo kwa kutumia hisia.

Moja  ya sifa kubwa ya maninja wenye mafunzo ya hali ya juu  ni kwamba  wanashambulia wakiwa wanatembea kwa kasi mno ,  ikiwa  shabaha yao ipo katikati  wanatengeneza duara na kushambulia  wakiwa wanazunguka  kwa spidi kubwa na hapa  bila mafunzo ya hisia  huwezi kuwazidi maana huwezi kujua wapo upande gani  na unaweza kushitukia wote wamekimbia  na anekuzunguka ni mmoja tu.

“Hapa..!!”

Aliongea Hamza  ambae  alikuwa akizunguka zunguka pia na mguu mmoja na kitendo cha kuongea vile alisogea kwa spidi na kufanya shambulizi la ngumi  na kilichosikika ni kitu kugongana na  kioo cha  gari aliokuwepo  Yulia , isingekuwa uwezo wake wa hali ya juu basi  pengine  Yulia angekufa palepale maana yule ninja alikuwa ashajiandaa kumshambulia.

Umakini wa Hamza ulimuwezesha kuwadhibiti maninja wote watatu , huku wa mwisho akijimaliza yeye mwenyewe baada  ya kuona kazidiwa.

Hamza wala hakujali kujiua kwao , alichofanya ni kuchana  sehemu ya bega na mkono  kuangalia  mchoro wa Tatoo.

Maninja wote walionekana  kuwa weusi na  jambo hili lilimfanya Hamza kushangaa kidogo na  aliamini lazima kuna uwezekano mafunzo  wameyapatia  nje ya nchi.

Kilichomfanya Hamza kutogundua chochote na kuona hawa sio maninja wanaomilikiwa ni mara baada ya kuona  kila mmoja alikuwa na Tatoo yake, kama wangekuwa wanamilikiwa wangekuwa na Tatuu zinazofanana.

“Hawa  ni   wakina nani ,  kwanini  wamekuja  kuniua?”Aliongea  Yulia mara baada ya kumsogelea Hamza.

“Unaniuliza mimi  tena , wewe ndio unatakiwa ujibu , imekuwaje mpaka  ukajiingiza  kwenye matatizo mpaka ukakodiwa watu wa namna hii?”

“Unajua  wanatokea wapi?”

“Hawana chata lolote , ni ngumu kujua ila kuna makundi ya Kininja ya daraja  B duniani  ambao hawapigwi Chata licha kuwa chini ya umoja , wakipewa misheni  wanapewa  jina la Strayed Ninja’s  au Strayed Assassin, wanakuwa na uwezo wa hali ya juu na kazi yao  kubwa  ni  kuua  watu wazito  na hata wakikamatika isijulikane wametokea  kundi gani”Aliongea.

“Kwahio hawa ni Strayed Ninja?”

“Ndio , imekuwaje mpaka ukakodiwa watu wa namna hii?”

“Mimi najua wanatokea wapi  , nina maadui kibao ,  halafu wewe ndio umesababisha , nani kakuambia umzimishe bodigadi wangu”Aliongea na kumfanya Hamza asijuie acheke au alie.

“Yaani bado unanilaumu , hata kama bodigadi wako angekuwa   na fahamu asingeweza kuwashinda , Maninja  hawafundishwi kupigana  bali wanafundishwa  namna ya kuitega shabaha na kuua, hivyo kama mwanajeshi wako amefundishwa  vita ataweza vipi kutegua mitego ya kininja”

Yulia aijihisi kuogopa  kidogo  hakuwa na utaratibu wa kutembea na mabodigadi wengi  na  ukweli kama asingekuwepo Hamza basi  ingekuwa swala lingine.

Jambo hilo lilimfanya kutaka kwa namna yoyote Hamza kuwa mtu wake wa karibu ili apate kuwa salama.

“Kwanini umeniokoa , ungewaacha tu waniue si ingekurahisishia mambo mengi”Aliongea  Yulia.

“Sina utaratibu wa kuazima kisu  kwa ajili ya kuua mtu , nikitaka ufe  nakuua mwenyewe”

“Kumbe ,  mbona naona kama  unanipenda?”Aliongea huku akiweka mapozi na kumfanya Hamza kukakamaa , ukweli hakutaka kuona mwanamke mrembo kama huyo akipata   matatizo , aliona ingekuwa hasara.

“Naona ugonjwa wako wa akili ushaanza kuchukua nafasi”

“Nini!!?”

“Unajiona  unapendwa na kila mtu , huo ni ugonjwa dada  yangu”

“Lazima nitakutibitishia  unanipenda , wewe ngoja uone , mimi  Yulia hakuna mwanaume anaeweza kuruka mtego wangu, Hamza nakuambia wewe huna utofauti   wowote na mimi , wewe ni mkatili  ambae huwezi penwa na mwanamke wa kawaida”

“Fanya unachotaka”

“Kwaho ndio unaniacha , vipi kama kuna maninja wengine”

“Si umesema wewe ni mtoto wa familia nzito bwana , wapigie simu waje wakulinde , mpenzi wangu ananjaa na ananisubiri “Aliongea  Hamza na kuendelea kupiga hatua kuondoka.

Yulia aliishia kumwangalia Hamza kwa mbali akipotelea nje na aliishia kupindisha midomo yake.

“Tutaonana muda si mrefu , ili mradi wewe ni mwanaume rijali nitakuonyesha namna ulivyodhaifu mbele ya mwanamke kama mimi”Aliongea.

******

Hamza alimrudia Eliza ambae alikuwa amesubiri muda mrefu mpaka anaanza kuchoka , baada ya kuingia kwenye gari aliulizwa alikuwa wapi na Hamza alitoa sababu ya uongo  na kweli  ili mradi kumtuliza Eliza.

Licha ya Eliza kujua Hamza kuna kitu alichokuwa akifanya hakutaka kuuliza zaidi  , isitoshe alikuwa na njaa.

 Wawili hao mara baada ya kutoka  ndani ya eneo hilo Hamza hakuona  sababu ya kuendesha kurudi  Bagamoyo  kwani ni mbali hivyo alielekea Msata mjini kwa ajili ya kutafuta mgahawa  kupata chakula cha mchana.

Mara baada ya kupata mgahawa uliokuwa  na mazingira mazuri waliweza kuingia na kisha kuagiza chakula.

Wakati wanakula Hamza alikuwa akiwaza namna ya kumuelezea  Eliza juu ya swala la kufunga ndoa feki na Regina , hakutaka kuendelea kumdanganya  Eliza lakini hakujua pa kuanzia.

Wakati akijiweka sawa ili kumuambia, simu  yake ilianza kuita na alipoangalia aliekuwa akipiga ni Regina  na alipokea haraka haraka licha ya  kushangaa kuna nini mpaka Regina kuanza kumpigia.

“Bosi kuna tatizo?”Aliongea Hamza.

“Uko wapi?”

“Tupo Msata Mgahawani  tunapata chakula cha mchana na Eliza”

“Mmefanikiwa kutoka  salama?”

“Ndio , tena usiwe  na wasiwasi  hata hela tumepata , kazi kampuni iliotutuma imemalizika”Aliongea Hamza.

“Mzee Laizer alikuwa tayari kulipa”

“Ndio , dawa ya deni ni kulipa , kwanini asilipe”Aliongea Hamza , upande wa pili licha ya Regina kuwa na maswali mengi lakini  hakuuliza.

“Fanyeni muwahi kurudi ,  jioni  bibi anataka kuonana na wewe”Aliongea Regina na sasa hapo Hamza alijua kwanini Regina alipiga na alikubali  na kukata simu.

“Huyo  ni Bosi?”

“Ndio , anasema tuwahi kurudi”

“Ah.. ndio maana  niliona  bora usingekuja ,  hupaswi kumfanya Regina kuwa na wasiwasi , hupaswi kufanya hivyo kabisa…”Aliongea Eliza huku akiwa na hali ya aibu.

“Huku tumekuja kikazi  Eliza  na si vinginevyo , hata hivyo tuachane na Regina , kuna kitu nataka nikuambie , ni kuhusu mimi na Regina…”

“Haina haja , najua  mmefunga ndoa”Aliongea Eliza  licha ya kwamba  alikuwa akionyesha tabasamu lakini ilikuwa ni dhahiri anavyojisikia ni tofauti  na alikwepesha macho yake kuangaliana na Hamza.

Kauli ile ilimfanya Hamza mapigo yake kuongezeka na hali ya kutokuwa na furaha ilimvaa mara moja ,  kile ambacho  alikuwa akiwazia Eliza  kuonyesha utofauti kumbe ilikuwa ni hili  swala , lakini hata hivyo aliona Eliza alikuwa bingwa wa kuficha hisia zake.

“Eliza nani kakuambia , Ni Regina ?”Aliuliza  Hamza na  aliamini kama  kweli ni  Regina basi atakuwa amemkatili.

Uadhani Yulia ni wa familia  gani , Vipi Eliza kaambiwa na Regina au kuna mtu mwingine

Previoua Next