MALAYSIA-KUALA LAMPUR.
Wakati Tanzania ikiwa ni saa sita za mchana ndani ya jiji la Kuala Lampur nchini Malaysia ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni.
Nje ya mlango wa kuingilia wodi ya VVIP katika hospitali ya Gleneeagles walionekana wanausalama wakiimarisha ulinzi , kwa jinsi sura zao zilivyokuwa zikionekana hazikuwa za wasiwasi wala huzuni bali ni za umakini zaidi kama kwamba wanahakikisha kile kinachoendelea ndani …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments