Regina mara baada ya kuulizwa swali hilo ni kama moyo wake uliingia katika hali ya mkanganyiko na akili yake , lakini mara baada ya kufikiria kwa umakini alionekana kupata jibu.
“Kabisa bibi, yaani simpendi”Aliongea na kumfanya Bibi Mirium kuonesha hali ya kukata tamaa.
“Hata iwe hivyo hakikisha huachani nae , ukihisi kutaka kuachana nae kumbuka maneno ya bibi yako , ukiona huko mbeleni umeshindwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments