Reader Settings

Regina mara baada ya kuulizwa swali hilo ni kama moyo wake uliingia katika hali ya mkanganyiko na akili yake , lakini mara baada ya kufikiria kwa umakini alionekana kupata jibu.

“Kabisa bibi, yaani simpendi”Aliongea na kumfanya Bibi Mirium kuonesha hali ya kukata tamaa.

“Hata iwe hivyo hakikisha huachani nae , ukihisi kutaka kuachana nae kumbuka maneno ya bibi yako , ukiona huko mbeleni umeshindwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next