Brigedia Doswe aliishia kumwangalia Amosi kwa macho ya maswali bila ya kupokea salamu yake.
“Amosi sina muda wa kuongea na wewe sasa hivi , asubuhi kesho fika na ripoti kamili ya wapi ulipokuwa na ulichokuwa ukifanya”Aliongea.
“Sawa Afande”Aliitikia kwa heshima na Doswe aliondoka akionekana kuwa na haraka ya kuelekea kwenye kikao.
Dastani na Amosi waliishia kuangaliana , ukweli ni kwamba Dastani alikuwa akimtafuta Amosi lakini …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments