“Sogea uone kama sitochangua ubongo wako”Aliongea Mdudu huku akiwa hana ishara ya utani kwenye macho yake.
Regina na Yonesi mara baada ya mara baada ya kuona Hamza kawekewa bunduki kwenye paji la uso mioyo ilitaka kuwatoka,
“Hamza naombeni tuishie hapa , Mdudu haina haja ya kwenda mbali hivyo”Aliongea Yonesi kwa namna ya kubembeleza.
“Huoni kama sio vizuri kutoa siraha eneo la hospitalini ?”Aliongea Regina.
“Kwahio …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments