Hamza mara baada ya kuona Regina ameshituka alirudi katika hali yake ya kawaida huku akijifanyisha hakuna kilichotokea.
“Kumbe tushafika?”Aliuliza Regina huku akijivuta.
“Ndio tumefika na nilikuwa nikijishauri hapa nikubebe au nikuamshe”
Muda ule Regina alijihisi ubaridi kwenye eneo lake la kifua na alijikuta akipeleka mkono na kugusa na palepale akikunja sura.
“Mbona nimeloa , haya maji yametokea wapi?”Swali hilo lilifanya uso wa Hamza kugeuka na …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments