Hamza hata hakujua ndoto iliisha saa ngapi na saa ngapi alipata usingizi lakini kitu ambacho alikuwa akikumbuka usiku aliota na katika ndoto aliishia akiwa anamwita mchungaji kwa ajili ya kudili na mzimu.
Alijikuta akikaa kitandani na kufikiria juu ya uhalisia wa ndoto , ukweli ni kwamba ashawahi kusikia aina za ndoto ambazo mtu huota huku wakati akijua kabisa alikuwa akiota , ndio kilichokuwa kikimpata Hamza …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments