Reader Settings

“Kazi yangu nyingine , kwanini ghafla tu unaniuliza kitu kama hicho?”

“Najua utadanganya lakini nimesikia taarifa unafanya kazi chini ya mtandao wa kihalifu wa Chatu”Aliongea Prisila na pale sasa Hamza alielewa ni kipi kilikuwa kikimfanya mrembo huyo kuwa na wasiwasi.

“Unaujuaje mtandao wa Chatu?”Aliuliza Hamza.

“Niambie ukweli kama unafanya kazi kwenye mtandao huo au hapana , napatwa na wasiwasi maana mimi ndio nimekukutanisha na bosi …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next