Hamza mara baada ya kuingia eneo la sebuleni aliweza kumuona Yulia alievalia blazia ya rangi nyeupe na jeans ya rangi ya bluu bahari na Regina upande wake alikuwa amevalia gauni la rangi ya bluu na visendo manyoya, wote walikuwa wamekaa ki upande upande kwenye masofa.
Kwa mwanaume yoyote angeburudishwa na muonekano wa warembo hao wawili , maana licha ya kuwa na rangi tofauti lakini walikuwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments