Reader Settings

SEHEMU YA 76.

Baada ya kupandishwa kwenye gari walichukua uelekeo wa kurudi Mbagala na ndani ya dakika chache tu walikunja kushoto na kuingia katika kambi ya jeshi.

Eneo hilo licha ya kuhifadhia maghala makubwa ya siraha za kijeshi lakini vilevile lilikuwa na gereza la siri ambalo hufungia wafungwa maalumu.

Ndio gereza ambalo mara nyingi lilitumiwa na kitengo cha MALIBU na TISA kwa ajili …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next