Baada ya wote kumwangalia Afande Mdudu na
Mshauri pia alimwangalia Mdudu akionekana anahitaji maelezo na kumfanya afande huyo sura yake kuzidi kuwa nyeusi.
“Afande naripoti kwako.. mimi ndio nimemkamata”
Afande Mdudu hakuona haja ya kujificha muda huo hivyo aliamua kuuvaa ujasiri na kusogea mbele.
Ukweli ni kwamba hata alipoomba ruhusa kwa mkuu wake wa misheni Afande Msuya alipewa maelekezo ikitokea ameshindwa kumkamata Hamza basi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments