Mzee huyo alionekana kuwa na haraka , japo Hamza alikuwa hamjui lakini kuna kitu ambacho alikiona kutoka kwa huyo mwanaume , ilionyesha alikuwa akimfahamu japo hakujua kivipi.
“Daddy!!”
Sauti ya Irene ilisikika nyuma ya Hamza , ilionekana hata yeye alishituka baada ya mlango kugongwa na alimwangalia baba yake kwa macho yaliojaa hasira.
“Irene naomba unisamehe binti yangu , nimekukosea jana , Dadd amekosea na hatorudia …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments