Reader Settings

Mzee huyo alionekana kuwa na haraka , japo Hamza alikuwa hamjui lakini kuna kitu ambacho alikiona kutoka kwa huyo mwanaume , ilionyesha alikuwa akimfahamu japo hakujua kivipi.

“Daddy!!”

Sauti ya Irene ilisikika nyuma ya Hamza , ilionekana hata yeye alishituka baada ya mlango kugongwa na alimwangalia baba yake kwa macho yaliojaa hasira.

“Irene naomba unisamehe binti yangu , nimekukosea jana , Dadd amekosea na hatorudia …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next