Reader Settings

Hamza alijikuta akishikwa na soni , ijapokuwa haikuwa makusudi aliona pia sio sawa , aliuliza ili kupata majibu na hakujua angemkasirisha Regina kiasi hicho, aliona pengine uelewa wake juu ya wanawake una kasoro na anatakiwa kuanza kujifunza upya.

“Toka kwenye ofisi yangu sitaki kukuona!”Aliongea Regina kwa kufoka.

Hamza aliishia kushusha pumzi akikubali kushindwa maana hakutaka kumwagia moto mafuta , hivyo kimya kimya alitoka …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next