Reader Settings

Hamza aliona ni kama Dina anaonngea kimafumbo mafumbo na alitaka aende moja kwa moja.

“Unakumbuka nilimwambia Prisila leo kuna tukio la ufunguzi wa Albam ya msanii mmoja mkubwa hapa nchin na niende nae?”Aliongea Dina na Hamza hapo hapo alikumbbuka ndio.

“Nakumbuka vizuri?”

“Basi huyu msanii ni mkubwa mno na huyo mtu ambae namzungumzia lazima atakuwa mmoja wa wageni wa heshima wa tukio hili , nina …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next