Reader Settings

"Unajua kujielezea kwa njia ya kipekee sana, nani alikufundisha hivyo? princess Amirah aliuliza

"Hakuna, ni maisha ndiyo yaliyonifunza.... mambo mengi sana" Jimmy alimjibu

"Unajua unanikumbusha maneno flani niliyowahi kusikia hapo kabla, yanasema "Si kila azururae amepotea" aliongea princess Amirah

.... na msemo huo unakufaa sana, unaonekana kuishi maisha ya kawaida ya kuzurura na kuonekana wa kawaida lakini ukweli unaonekana ni wa ajabu sana aliendelea

Unaweza …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next