Reader Settings

Lamla alijikuta akipiga ukulele kwa woga , lakini hata hivyo Mzee Wilsoni alikuwa mwanaume wa kawaida na watu wa kundi la Nafsi zinazotangatanga walimuwahi na kumkalisha chini huku wakimuwekewa kisu shingoni.

“Ukisogea kidogo tu , nitakukata kata”Muuaji aliongea kwa msisitizo na kumfanya mzee huyo kutulia.

“Wewe mpuuzi bado tu unajjiona una nguvu , mshenzi wewe kufa”Aliongea Lamla kwa hasira huku akimpiga aliekuwa mume wake mateke.

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next