Lamla alijikuta akipiga ukulele kwa woga , lakini hata hivyo Mzee Wilsoni alikuwa mwanaume wa kawaida na watu wa kundi la Nafsi zinazotangatanga walimuwahi na kumkalisha chini huku wakimuwekewa kisu shingoni.
“Ukisogea kidogo tu , nitakukata kata”Muuaji aliongea kwa msisitizo na kumfanya mzee huyo kutulia.
“Wewe mpuuzi bado tu unajjiona una nguvu , mshenzi wewe kufa”Aliongea Lamla kwa hasira huku akimpiga aliekuwa mume wake mateke.
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments