Hamza ndiye aliyekuwa dereva wa gari hilo, na mara baada ya kusikia swali hilo alijibu:
“Mwanzoni nilipanga kuondoka na nyie wote kuelekea kisiwani, lakini sina uhakika na hali ilivyo. Wasiwasi wangu ni jambo baya kuwatokea. Isitoshe, pia Eliza na Yulia hawapo hapa, hivyo ni ngumu kuwatoa wote kwa pamoja kwenda kisiwani. Naona mkiendelea kubakia Dar es Salaam ni salama zaidi, lakini kimazingira kuna sehemu moja …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments