Reader Settings

“Kigezo knachoangaliwa ni kushinda na kushindwa”Aliongea Hamza.

“Unamaanisha nini?”

“Inamaanisha kwamba kundi linaangaliwa lilipigana vita vingapi au wamekamilisha misheni ngapi na kushinda au kushindwa na ndo maksi zao hupatikana , kwa mfano chukulia kama wewe ni mtu na umeua watu kumi , maksi zako zitahesabiwa kama moja kwa kumi , ukiua mia ziitahesabiwa moja kwa mia hivyo hivyo na kuendelea , huu ni mfano tu …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next