Benki ya Uaminifu na Maendeleo ya Afrika Mashariki — Nairobi
Saa tatu kasoro dakika tano, Brenda Nyaki alihisi hali ya utofauti katika hewa ya benki. Mazungumzo ya wafanyakazi yalionekana kuongezeka kwa kasi, hatua zao zikawa za haraka zaidi. Milango ya benki ilikuwa inakaribia kufunguliwa - dakika tano tu zilibaki - na kila kitu kilipaswa kuwa tayari.
Kupitia dirisha la mbele, Brenda aliweza kuwaona wateja waliokuwa …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments