Katika hadithi za kale Baba yaga alisemekana kuwa mchawi wa kutisha, mzee mwanamke mwenye macho ya kutisha ambaye anaishi ndani ya msitu mnene
Nyumba yake aishiyo ilikuwa ni ya ajabu na inasemekana ilikuwa na miguu ya kuku na ina uwezo wa kutembea na kujificha popote msituni
anatajwa kuwa na macho ya laana yenye uwezo wa kupofusha unapomuangalia
Sasa katika boksi lile la kioo kilipatikana kichwa chake …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments